
Huyu ndie ADOLF HITLER mwenyewe, ona alivyo! duh!
DO NOT GIVE UP. THE BIGINNING IS ALWAYS THE H a r D e s t. "NI HERI KUFA KATIKA FIKRA ZINAZOISHI KULIKO KUISHI KATIKA FIKRA ZILIZOKUFA."
Kumekuwa na mafanikio kati ya mahasimu wa kisiasa - ikiwa na maana kwamba idadi ya vifo inaongezeka na watu wasiokuwa na makazi.
Machafuko haya mapya yametokea pia katika mji wa Nakuru, pia katika eneo la bonde la ufa.Walionusurika wamekuwa na majeraha ya mapanga.
Ghasia hizo - ambazo kwa kiasi kikubwa zinawapambanisha watu wa jamii ya Kikuyu na Jaluo na
Mwezi mmoja baada ya matokeo ya uchaguzi kuzua mtafaruku, ghasia za kikabila zinaendelea kuizonga Kenya - hapa ni Naivasha kwenye bonde la ufa.Kalenjin ni mikasa ya kulipizana kisasi.Baraza hilo jipya lilitajwa Jumanne adhuhuri katika Ikulu ndogo ya Chamwino mjini Dodoma.
Hatua hiyo imetokana na kuvunjwa baraza la mawaziri baada ya aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa kujiuzulu wadhifa huo kufuatia kuhusishwa kwenye kashfa ya Richmond Development, kampuni iliyoshinda zabuni ya kufua umeme wa dharura.
Bw Annan aliwaeleza hayo kabla hawajahamia eneo la siri kuendeleza mazungumzo hayo.
Hakutoa taarifa zozote kwa waandishi wa habari lakini mwandishi kutoka BBC amesema kuwa huenda kukawa na mpango wa serikali ya mseto na uchaguzi mwengine kuitishwa mwakani.
Bw Annan amefutilia mbali wazo la kurudia kuhesabu kura na kuongeza kuwa nchi ya Kenya haiko tayari kwa uchaguzi mpya kwa sasa angalau baada ya muda wa mwaka mmoja kupita.
Watu wasiopungua 1000 wamefariki baada ya chama cha upinzani kutangaza kuwa kulifanyika hila katika uchaguzi huo.
Zaidi ya watu 600,000 wamelazimika kukimbia makazi yao kutokana na mapigano ya kikabila yanayoonekana kama wengine wanawaunga mkono upinzani na wengine serikali.
Ni sehemu tu,ninaamini kila kitu kilicho mbele yetu ni sehemu tu ya uhalisia uliotakiwa uonekane.Tuna upande usioonekana wa uhalisia.Kama vile hisia zetu na mihemko.tizama jinsi utakavyooanza safari kupitia njia hii kuanza.