Mtayarishaji

Morning Star Radio

Alhamisi, Februari 14, 2008

GHASIA KENYA
































Kumekuwa na mafanikio kati ya mahasimu wa kisiasa - ikiwa na maana kwamba idadi ya vifo inaongezeka na watu wasiokuwa na makazi.

Ghasia hizo - ambazo kwa kiasi kikubwa zinawapambanisha watu wa jamii ya Kikuyu na Jaluo na

Mwezi mmoja baada ya matokeo ya uchaguzi kuzua mtafaruku, ghasia za kikabila zinaendelea kuizonga Kenya - hapa ni Naivasha kwenye bonde la ufa.Kalenjin ni mikasa ya kulipizana kisasi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni