Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumapili, Februari 17, 2008

THE VOICE


The Greatest Acapella Group in Tanzania.Ni kwa umoja na ushirikiano,japokuwa jitihada zaidi zimewapatia mafanikio ukweli ni kwamba asili ya kila kitu ni MUNGU pekee.Kwa ugumu ugumu tumetoka mbali,usidhani ni rahisi rahisi.Tuna shukuru sasa tupo hapa,bado tunasonga safari hatujafika.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni