Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumatatu, Machi 29, 2010

Hellow wote mtandanoni!!
Ni yangu imani kuwa haujambo msomaji wa blog hii.
Ni kwa siku nyingi nimekuwa kimya bila kuendeleza nia ya fikra zangu.
Namshukuru Mungu kwa jinsi anavyoendelea kuniweka katika namna ambayo kwa hakika sikuitaraji.
Kwa ufupi napenda kusema nimerejea tena.
MUZIKI WA ACAPPELLA NDIO JAMBO AMBALO LIMENICHUKULIA MDA WANGU MWINGI LENGO NIKUUFANIKISHA KWA KUUFIKISHA KATIKA NGAZI INAYOTAKIWA, WENGI WANAIITA YA KIMATAIFA.
Hellow wote mtandanoni!!

Ni yangu imani kuwa haujambo msomaji wa blog hii. Ni kwa siku nyingi nimekuwa kimya bila kuendeleza nia