Mtayarishaji

Morning Star Radio

Alhamisi, Septemba 27, 2012

TUNAKUZA VIPAJI

Huyu ndiye mwalimu wa muziki katika OMEGA POINT MUSIC ACADEMY iliyopo USHINDI SDA CHURCH.

Hapa ilikuwa ni katika tukio moja hivi.

Calvin mwenye nguo nyeusi kuanzia shati hadi suruali aliyepo nyuma ya pianist akirekebisha mitambo Ushindi SDA Church. Calvin ni rubani wa ndege na hivi sasa yupo kwa Obama anaongeza maujuzi mwanawane .


Huyu mtoto ni kivutia cha wengi kutokana na uwezo wake wa kucheza Piano, ilimchukua muda mfupi sana kuanza kupiga Piano huku akisoma Staff Notation.






Mdada kwa nyuma alikuwa akiimba wimbo uliokuwa ukichezwa na bwana mdogo hapo kwa Piano.


Huyu ndie mkufunzi mwenyewe wa Muziki.


 Mwalimu Heri akitoa maelekezo kwa mwanafunzi





Hapa alipewa paper ngumu, akajiuliza hivi nitaweza kweli kuupiga huu wimbo? Ulimchanganya lakini baada ya kutulia kidogo na kuungalia kwa makini akaanza na akaweza aisee...!!

 Mwalimu Heri akikagua mwanafunzi anachofanya ili kujiridhisha kuwa kaelewa ama anaweza? Ulikuwa ni wimbo mgumu sana.

Hapa anamfunulia ukurasa mwingine ili  kumpima uwezo wake

Dogo hapa kaiva, anapiga piano na kusoma Staff Notation.




Watoto wanaojifunza muziki wakiangalia kwa makini wakati mwalimu Heri akitoa maelekezo.

Hapo je!!


Muziki damuni.

Staff Notation ni moja ya changamoto kwa waimbaji, waalimu na hata wacheza vyombo vya muziki.





UTAPENDA MWANAO AMA WEWE MWENYEWE UJIFUNZE MUZIKI? 
WASILIANA NA MWALIMU HERI KAALE KWA NAMBA HIZI ZIFUATAZO:

+255 713 381883
+255 688 984 442
+255 757 336 090

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni