Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumamosi, Februari 18, 2012

MAJIBU YAFANYAYO KAZI...”THE WINGS OF OUR FLIGHT”


NINAPENDA KUKUJULISHA KIJIWE HIKI AMBACHO NINA UHAKIKA KUNA MAMBO MAKUBWA MAZURI YATAKAYOKUSAIDIA KTK MAISHA IKIHUSISHA ZAIDI SUALA LA KIROHO KWA YULE ANAYEWIWA.

NI WEBSITE YA SOUTHERN HIGHLANDS CONFERENCE IKIHUSISHA MIKOA YA MBEYA, IRINGA  (Mikoa mingine nimeisahau kidogo ila itembelee wewe mwenyewe). UNAWEZA UKAITEMBELEA KUPITIA ANUANI IFUATAYO:
 http://www.shcadventist.org

Makao makuu yapo Iganzo, Chunya Road - Mbeya
Mawasiliano        info@shcadventist.org
Telephone:     +255 753 199020
Fax:               +255 25 2502367
Mobile Phone Number:     +255 718 378837 


********************************
Ngoja nikwambie msomaji wangu jambo hili, kwamba:
MAJIBU YAFANYAYO KAZI ni kipengele kinachoongelea masuala ya kiroho zaidi.
Kwa sababu ya upekee na unyeti wa siku, Sio vibaya tukibadilishana mawazo na kuambizana yaliyomuhimu katika maisha hasa ya kiroho.
Na huu utakuwa ni mfululizo kwa kila siku kama hii ya leo...
(Namaanisha JumaMosi)

Pamoja na kwamba weeengi wanaamini hii ni kweli, lakini kweli halisi jionee mwenyewe ambapo

Napenda kukujulisha kuwa lile Kongamano la Mawasiliano la Union litmefanyika na leo ndio hitimisho Februari 18, 2012 kama ilivyopangwa katika Kanisa la Waadventista wa Sabato Mwenge Dar es salaam.

Wahudumu wa Kongamano hili lenye Motto :
”THE WINGS OF OUR FLIGHT”  
wametoka General Conference, East-Central Africa Division, Tanzania Union na wataalamu wetu wa ndani waliobobea.

Kando ya Maofisa wetu wa Union, Konferensi/Fildi, Wakurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano Jamii, Wataalamu wa IT wa Fild na Konferensi, Wajumbe wa Kongamano hili walijumuishwa pia wachungaji wa mitaa, wazee wa kanisa, viongozi wa kanisa wa mawasiliano na uhusiano na jamii, wataalamu wa Teknohama na washiriki wote.

Kongamano hili lilijadili Nyanja nne kuu za mawasiliano:
 
(A) - Print Media, 
(B) - ICT, 
(C) - Radio na 
(D) - Television Broadcasting.
  
The topics include though not limited to: 
* Production Playback and Feedback, 
* Ethics and Adventist Communication Issues, 
* Writing Adventist News, 
* Quality Production and Maintenance of high Production 
* Standards, 
* Public Relations, 
* Writing For Broadcasting, 
* Interface with Public Print and Broadcast Media, 
* Writing for Print, 
* Effective Interview, 
* Podocasting, 
* Magazine formats , 
* Adventist Websites, 
* NetAdventist, 
* A week of Prayer through Social networks, 
* Twitting  for Commission, 
* The Communication Secretary (for Church), 
* Crisis management issues.

Wapendwa sasa vifaa vya mawasiliano vya kisasa zaidi vinaendelea kuwekwa makanisani. Hii ni fursa yako muafaka kujifunza kuvitumia ili kutimiza utume wa kanisa kwa mafanikio makubwa. Naamini hutadiriki kukosa fursa hii. 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni