Sinagogi ni nyumba ya dini na ya jamii ya Wayahudi inayotumika hasa kusali.
Etimolojia 
Neno linatokana na Kigiriki  sinagoge likimaanisha "mkutano"; ni tafsiri ya Kiebrania  beit knesset yaani "nyumba ya mkutano". Wayahudi hutumia pia neno la Kiyiddish "shul" (=shule) kutajia sinagogi.
Muundo 
Chumba kikuu ni ukumbi wa sala lakini mara nyingi kipo pamoja na vyumba vya pembeni kama vile madarasa, ofisi na vingine. 
Historia
Katika Israeli ya Kale (kabla ya maangamizi ya Yerusalemu mwaka 587 KK) inaonekana hakukuwa na sinagogi: walau halitajwi kabisa katika Agano la Kale.
Hakuna uhakika kamili lakini inaonekana ya kwamba masinagogi yalianzishwa baada ya hekalu ya Yerusalemu kubomolewa pamoja na kuanza uhamisho wa Wayahudi kwenda nchi mbalimbali.
Tangu kuharibiwa kwa Hekalu la Pili mwaka 70 Wayahudi wana masinagogi tu kufanyia ibada.
Kanisa
Kwanza kabisa neno Kanisa linamaanisha "mkusanyiko wa waamini" kama ule wa Waisraeli chini ya Musamlima Sinai walipopewa Amri za Mungu. kwenye 
Neno hilohilo lilitumiwa na Wakristo wa kwanza kwa ajili yao wenyewe kusema wameshika nafasi ya Israelitaifa la Mungu hata wasipokuwa Wayahudi bali watu wa mataifa mengine. kama 
Jina hilo lilitumika kwa jumuia mama ya Yerusalemu, kwa kila mojawapo ya jumuia za Kikristo zilizotokana na umisionari wa wafuasi wa Yesu Kristo, na kwa umoja wao wa kimataifa uliotazamwa na Mtume PauloMwili wa Kristo, ukiwa na Yesu kama kichwa chake. kuwa 
Kanisa kama jengo
Wakristo walipoanza kujenga mahali pa ibada, pakaja kuitwa vilevile "kanisa" kwa sababu ndani yake lilikusanyika Kanisa hai.
Hivyo mara nyingi neno hilo linatumika kwa maana ya jengo, ambalo ni mfano mwingine uliotumiwa na Paulo kuhusu umoja wa Wakristo, ukiwa na Yesu kama jiwe kuu la msingi.
Majengo hayo ya ibada yanaweza kuwa na ubora tofauti hata upande wa sanaa; baadhi yake yanatembelewa na watalii na kuhifadhiwa kwa bidii kwa sababu hiyo.
Kwa namna ya pekee ni muhimu Kanisa kuu la kila jimbo (dayosisi), halafu Basilika na Patakatifu.
Madhehebu
Baada ya umoja wa Wakristo kuanza kuvunjika, kwa kawaida madhehebu yaliyotokea yaliendelea kujiita makanisa, ingawa kwa maana mbalimbali: hasa Kanisa Katoliki na Waorthodoksi wanadai kuwa la kwao ndilo linaloendeleza Kanisa pekee la kweli; kumbe Waprotestanti hawatii maanani sana umoja wa Wakristo upande wa miundo, bali ule wa kiroho.
Ndani ya Kanisa Katoliki, linalokubali uongozi wa Papa wa Roma, neno Kanisa linatumika pia kumaanisha kila jimbo na makundi ya majimbo yanayochanga mapokeo yaleyale upande wa teolojia, liturujia, maisha ya kiroho, sheria n.k.
Kwa msingi huo Kanisa la Kilatini, ambalo lilienea kwanza upande wa magharibi wa Dola la Roma (Kanisa la Magharibi), linatofautishwa na Makanisa ya Mashariki yaliyoenea kwanza upande wa mashariki wa dola hilo na nje ya mipaka yake.
 
1. Kanisa moja;
Jamii iliyoungana katika mfumowa kundi la waumini mmoja mmoja.
2. Konferensi, fildi au misheni ya sehemu moja
Muungano wa jamii ya makanisa katika nchi, mkoa au eno la nchi.
3. Union inayojitegmea
Hii ni jamii ya muungano wa koferensi, fildi au misheni kadhaa ndani ya eneo kubwa la nchi.
4. Halmasahuri kuu
 
Mfumo wa Waadventista Wasabato
Agizo
 la utume wa Mwokozi kwa kanisa kupeleka injili ulimwnegunu mwote (Mat. 
28:19-20; Marko 16:15) halikumaanisha tu kuhubiri ujumbe bali 
kuhakikisha ustawi wa wale walioupokea ujumbe ule. Hii ilhusisha kuchuga
 na pia kulipatia kundi makazi, na pia kukabiliana na matatizo ya 
mahusiano. Hali kama hiyo ilihitaji mfumo (Oganaizaisheni).
Mwanzoni
 mitume wao wenyewe waliunda baraza ambalo liliongoza shughuli  katika 
kila kanisa (Mdo.14:23).Kanisa lile changa kutoka Yerusalemu (Mdo. 6:2; 
8:14). Pale kundi la jijini lilipokuwa kubwa kiasi kwamba uendeshaji wa 
shughuli zao za dhati ukawa tatizo,mashemasi waliteuliwa kusimamia 
shughuli za kanisa (Mdo. 6:2-4). Pia inaonekana wazi kutokana na 
kumbukumbu za Mungu kwamba upanuzi wa kazi katika majimbo mbalimbali ya 
Dola ya Kirumi ulihitaji mfumo wa kanisa katika kile mabacho kinaweza 
kuitwa konferensi. Zilijumuisha makanisa katika ,jimbo mahsusi, kama 
vile makanisa ya Galatia(Waga.1:2); likawa na mfumo(oganaizesheni). Kadri mahitaji yalivyojitokeza Mungu aliwaongoza na kuwaelekeza viongozi wa kazi yake.
Madaraja katika mfumo wa kiutawala wa Waadventista Wasabato
Miongoni mwa Waadventista wasabato kuna madaraja manne ya uwakilishi kuanziamuumini mmoja hadi mfumo(oganaizesheni)mzima wa kazi ya kanisa ulimwenguni pote.1. Kanisa moja;
Jamii iliyoungana katika mfumowa kundi la waumini mmoja mmoja.
2. Konferensi, fildi au misheni ya sehemu moja
Muungano wa jamii ya makanisa katika nchi, mkoa au eno la nchi.
3. Union inayojitegmea
Hii ni jamii ya muungano wa koferensi, fildi au misheni kadhaa ndani ya eneo kubwa la nchi.
4. Halmasahuri kuu
Ambayo
 ni sehemu kubwa ya mfumo wa utawala, unaounganisha union zote pande 
zote za ulimwengu. Divisheni ni shemu ya Halmashauri kuu, zikiwa na 
mamlaka katika maeneo maalumu yaliyotengwa
kijiografia.
kijiografia.
Kila
 mshiriki wa kanisa ana sauti katika kuchagua maofisa wa kanisa. Kanisa 
huchagua maofisa wa fildi au konferensi. Wajumbe waliochaguliwa na fildi
 au konferensi huwachagua maofisa wa union zilizo konferensi au union 
misheni, na wajumbe waliochaguliwa na union konferensi au union misheni 
huwachagua maofisa wa halmashauri kuu. Kwa mpangilio huu kila konferensi
 au fildi, kila taasisi, kila kanisa na kila mshiriki binafsi, aidha 
moja kwa moja au kupitia wawakilishi, ana sauti kwa uchaguzi wa watu 
wanaobeba majukumu makubwa katika halmashauri kuu.
Halmashauri kuu , Mamlaka ya Juu Zaidi
Halmashauri
 kuu katika kikao rasmi cha kila miaka mitano,na Kamati ya Utendaji 
ikutanikayo katikati ya vikao rasmi, ndicho chombo cha juu zaidi katika 
utawala wa shuguli za kanisa uimwenguni kote, na chombo hicho kimepewa 
mamalaka na katiba yake kuunda mashirika yalio chini yake ili kuendeleza
 maslahi mahsusi katika sehemu mbalimbali za ulimwengu. Kwa hiyo basi
 imeeleweka wazi kwamba mashirika yote madogomadogo na taasisi 
ulimwenguni kote zitatambua Halmashari kuu kama mamalaka iliyo juu 
zaidi, chini ya Mungu miongoni wa Waadventista Wasabato. “Mara kwa mara 
nimeagizwa na Bwana ya kwamba maamuzi ya mtu yasisalimishwe kwa maamuzi 
ya mtu mwingine yeyote. Kamwe nia ya mtu mmoja au nia za watu wachache 
zisichukuliwe kama zatosha kwa hekima na uwezo kudhibiti kazi na kusema 
ni mipango ipi ndo itakayofuatwa. 
Lakini katika kikao rasmi cha 
halmashauri kuu, wakati maamuzi ya ndugu waliokusanyika pamoja kutoka 
sehemu zote za kazi ulimwenguni yanapotolewa, basi ushupavu binafsi na 
maamuzi binafsi ya pekee yasishiikiliwe kwa ukaidi, ila sharti 
yasalimishwe. Kamwe mtenda kazi asichukulie kuwa ni sifa kushikilia kwa 
ushupavu msimamao wake wa kutoambilika, kinyume cha uamuzi wa watu wote 
kwa ujumla. Nyakati nyingine kikundi, wakati ambapo kikundi kidogo cha 
watu kwa jumla waliokabidhiwa kusimamia kazi, kwa jina la Halmashauri
 kuu, wamejaribu kuendesha mipango isiyo ya busara nahivyo kuzuia kazi 
ya Mungu, hapo nimesema kuwa nisingeweza tena kuendelea kuheshimu sauti 
ya Halmashauri kuu iliyowakilishwa na watu hao wachache, kama sauti ya 
Mungu. Lakini hii siyo kusema kwamba maamuzi ya halmashauri kuu yenye 
wajumbe waliochaguliwa rasmi kutoka sehemu zote za kazi ulimwenguni 
hayapaswi kuheshimiwa. Mungu ameagiza kwamba wawakilishi wa kanisa lake 
kutoka sehemu zote za kazi duniani, wanapokusanyikakatika kikao cha 
Halmashauri kuu, watakuwa na mamlaka"-EG White
********************************
Ngoja nikwambie
msomaji wangu jambo hili, kwamba:
MAJIBU YAFANYAYO KAZI ni kipengele kinachoongelea masuala ya kiroho zaidi.
MAJIBU YAFANYAYO KAZI ni kipengele kinachoongelea masuala ya kiroho zaidi.
Kwa sababu ya upekee na unyeti wa siku,
Sio vibaya tukibadilishana mawazo na kuambizana yaliyomuhimu katika maisha hasa
ya kiroho.
Na huu utakuwa ni mfululizo kwa kila siku kama hii ya leo...
Na huu utakuwa ni mfululizo kwa kila siku kama hii ya leo...
(Namaanisha JumaMosi)
Pamoja na kwamba weeengi wanaamini hii ni kweli, lakini kweli halisi jionee mwenyewe ambapo
Pamoja na kwamba weeengi wanaamini hii ni kweli, lakini kweli halisi jionee mwenyewe ambapo
Doug Batchelor
a n a p o t w a m b i a k u h u s u:
Who are the Seventh-day Adventists?
(AmazingFacts)
KARIBU TENA

 
 
 
 
mbona ujaniambiwa jibu la who are seventh day adventist???///?/?
JibuFuta