Mtayarishaji

Morning Star Radio

Alhamisi, Juni 23, 2016

SOMA KITABU CHA UJASUSI WA KIDOLA NA KIUCHUMI


Kwa mjibu wa nyaraka za MOSSAD, CIA, RAW na FSB juu ya elimu ihusuyo "kiwango cha hali ya hatari katika eneo la kiraia" ambacho hupimwa kwa kipimo kiitwacho Def Cond, inasema, "Pale majadiliano ya meza yanaposhinwa kuleta jibu chanya, wanamjadala hususia meza, ambapo katika kipimo husomeka Def Cond 0001".

Ikitokea kuwa hata huko walikoamua wanamjadala hao kupeleka hisia zao nako kukazuiwa, hasira ya wanamjadala hao huongezeka na kuwa Def Cond 0002.

Hatua ya mwisho ya wanamjadala hawa huwa ni kwenda kwenye mahakama ya umma, hapa kipimo husomeka Def Cond 0003.

Hiki ni kipimo kikubwa katika medani ya kiusalama kwa mambo ya ndani, ambapo matokeo yake shughuli katika jamii husimama, serikali hushindwa kutawala wala kuongoza. Katika lugha nyingine huitwa mgogoro wa ndani,kisiasa,kikatiba nk...

Zingatia hali hii haizai vita, kwani ili vita kamili ya ndani izaliwe lazima hali ya hatari isomeki Def Cond 0006. Na ili vita kamili izaliwe katika ya taifa na taifa lazima hali ya hatari isomeke Def Cond 0008.

Mzigo ukiwa dukani tayari kwa mauzo,
Bei ya rejareja 30,000/=
Bei ya Jumla 25,000/=

Fika Dukani House of Wisdom Bookshop lililopo Dar es Salaam, Posta, mtaa wa Samora jengo la NHC Ghorofa ya kwanza.

Kwa walio nje ya Jiji la Dar wanaweza kununua kwa M-Pesa +255755865544 Yericko Nyerere. Utaletewa mahali ulipo kwa njia ya Posta.

PIA KWA MAUZO YA JUMLA LIPA KUPITIA BANK YA CRDB
AC NO: 0152241955000.
Name: YERICKO YOHANESY NYERERE.
BRANCH NAME: HOLAND HOUSE
BRANCH CODE: 3319
BANK NAME: CRDB BANK PLC
SWIFT CODE: CORUTZTZ
CURRENCY: TZS.

WANAKARIBISHWA WAFANYABIASHARA WALIOTAYARI KUWEKEZA KATIKA BIASHARA HII.


Wasiliana kwa simu: +255 715 865 544

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni