Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumatatu, Februari 24, 2014

MKUTANO MUHIMU KWA WACHORA KATUNI KUHUSU MAPENDEKEZO YA WASANII KATIKA RASIMU YA KATIBA MPYA.











 


Ewe mchoraji katuni, mkongwe na chipukizi, tarehe 25.02.2014, Jumanne, saa 9.30 alasiri, Vijana Social Hall, Kinondoni, DSM, kutakuwa na mkutano wa kujadili mapendekezo ya wasanii kwenye Rasimu ya Katiba.

Taarifa ya hatua iliyofikiwa itawasilishwa na Mdau John Kitime. Usikose.

Sambaza ujumbe huu kwa wengine. 
Kwa taarifa zaidi 0713 262 902 (Nathan Mpangala)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni