Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumapili, Oktoba 21, 2012

BREAKING NEWS

Photo Credit By: spectrummagazine.org

Wapendwa Viongozi wa Kanisa,

Kufuatia tamko la Serikali la kupiga marufuku mihadhara yote ya dini kwa siku thelathini kuanzia leo Oktoba21,2012, Uongozi wa Kanisa la Waadventista wa Sabato Tanzania Unioni,unaelekeza kwamba tuzingatie maelekezo hayo kwa kuahirisha Mahubiri yote ya hadhara au kuyahamishia makanisani, pale itakapowezekana, mpaka marufuku hiyo itakapoondolewa. Tafadhali fikisheni ujumbe huu makanisani. Tunawasihi tumlilie Mungu ili Hali ya Amani na Utulivu irejee mapema na marufuku hii iondolewe.
 
*********************************  
Dear Adventist Church Leaders,

Following the Statement of the government to ban all religious public meetings for thirty days with effect from today October 21, 2012, Tanzania Union Administration of the Seventh Day Adventist Church Directs that we adhere to this directive by canceling all public evangelistic meetings which were falling within these thirty days from today. Kindly pass this message to all churches today. We shall let you know the moment the ban is lifted.

Pr. Mussa Daniel Mika
Director of Communication- 

TANZANIA UNION OF SEVENTH DAY ADVENTIST CHURCH

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni