Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumanne, Mei 15, 2012

UNAPOKUWA KATIKA HALI YA UPWEKE

Picha kwa hisani ya: www.blogs.suntimes.com
Ni hali inayoathiri namna mtu anavyofikiria kuhisi na hata anavyotenda matendo yake. Mtu aliyeathiriwa na hali hii huwa na shida ya kutambua mambo ya kufikiri tu na yale ya maisha halisi. Huenda hata wasiitike wakiituwa na wana shida kusema namna wanavyohisi katika hafla za kufangamana.

Hali hii si nafsi moja au nyingi. Watu wengi wakiwa na hali hii huwa si wabaya wa kujiumiza au kuumiza wengine. Haisababishwi na hali aliyoipitia katika utoto, malezi mabaya na kukosa moyo wa kufanya mambo sababu haijajulikana haswa. Sababu inaweza kuwa ya kuurithishwa katika familia, hali ya kizinaa na shida za kukosa kinga.

Kila mtu huwa na dalili zake za kipekee. Zinaweza kujitokeza polepole kwa muda wa miezi ama miaka ama hata itokee tu ghafla bila kutarajiwa. Ugonjwa huu huweza kuwenda na kurudi.

Ni nini baadhi ya dalili zake? 
Kusikia ama kuona vitu ambavyo haviko
Kuhisi kuwa unaangaliwa kila mara
Kuongea ama kusema vitu ambavyo havina maana. (Havieleweki)
Kutojishughulisha na mambo ambayo ni ya muhimu sana
Kudidimia kimasomo au namna unavyofanya kazi
Kutojishughulisha na unadhifu au hata namna unavyofanana
Kutoonekana kabisa mahali ambapo watu wametengana
Maamuzi yasiyofaa, hasira, ama kuonesha hisia za kuogopa wale unaowapenda
Kushindwa kulala au kizingatia kufanya jambo
Tabia zisizokubalika au za kiajabuajabu
Kushikilia sana dini au mambo yaliyokuwa kawaida
Imani ya uwongo kuhusu uwezo na nguvu zako au umuhimu wako
Imani kuwa mengine wanathibiti matendo yako

Unatibuje hali hii? 
Wewe au mtu yeyote unayemjua aliye na dalili hizi kwa zaidi ya majuma mawili anaweza kupata msaada mara moja. Mpigie simu daktari, hospitali ama kwenye kituo cha kutibu wenda wazimu matibabu ya mapema huashiria matokeo mazuri ya baadaye.

Mtu akipata tiba ibayostahili anaweza kuishi vizuri kama mtu wa kawaida. Hali hii hutibiwa kwa dawa na kufanyishwa mazoezi, pamoja kupewa nasaha bora, ukijihusisha na vikundi vya kujisaidia na vituo pia.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni