Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumatatu, Septemba 12, 2011

NI KWELI Imetokea DHAHIRI.

 
Ni kweli imetokea hadi kupelekea Mubelwa Bandio Kuandika kwenye wall yake ktk facebook. Jisomee mwenyewe kwa ku-Click  HAPA.
Ninairejea kwa kuinukuu: VODACOM....Ni kweli kuwa hasara ambayo mngeipata kwa KUAHIRISHA Miss Tanzania ni kubwa kuliko uhai wa mamia ya watu waliopotea? 
Ni kweli kuwa WATEJA WENU ambao kila siku mnasema mnawajali, si miongoni mwa waliofariki ama kufiwa kutokana na ajali hiyo?

NANI ANASEMA VODACOM INAWAJALI WATEJA WAKE??
Nawawaza kwa sauti tu "wapendwa" wangu VODA.
Mwisho wa kunukuu.
******************
Sijui kwa upande wako wewe msomaji. 
Mimi ninasema kwamba: 
Ukiona Majibu Yanakua Mengi,
Ujue Hakuna Jibu la Uhakika.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni