Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumapili, Mei 08, 2011

MTAYARISHAJI WETU

Nipo katika moja ya majukumu yanayotusibu kila inapoitwa siku, hii nisehemu tu ya kufanikisha kile wasikilizaji wanachokihitaji. Hapa nilikuwa nawasiliana na waimbaji ambao walikuwa njiani kuja kwenye kipindi cha Muziki wa acappella ambacho huwa kinaruka kila ijumaa kuanzia saa 2:00-3:00 usiku na kila jumapili kuanzia saa 10:00-12:00 jioni.









Hawa wanaitwa GRACIOUS SING'ERS. Wanapatikana Kanaan, ni eneo lililopo Mbezi ya Kimara Dar es salaam, kitu kimoja ambacho kinawafanya waonekane tofauti ni pamoja na kushirikiana na Binti mdogo, idadi kamili ya hawa waimbaji wapo 6 na kati ya hao sita kuna Binti (muangalie mwenye tshirt yenye mistari ya rangi nyekundu) Kilichonivutia saaaaaana ni jinsi huyu binti anavyoweza kumudu kuimba sauti 3 kwa nyakati tofauti. Wanajiandaa kurekodi album yao ya kwanza hivi karibuni.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni