Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumatano, Februari 05, 2014

TANGAZO LA AJIRA




Wanatwafutwa ma-NURSE 10 wenye diploma na uzoefu wa kuanzia miaka 2 na kuendelea haijalishi umri, kabila wala dini. Awe na VYETI halisi pamoja na CV.

Awe tayari kufanya kazi mkoa wowote kati ya mikoa iliyopo Tanzania. Kuhusu mshahara si haba ni mnono ni kuanzia laki 5 hadi 8.

Kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 713 40 32 78.

Upatapo taarifa hii share mara milioni au mjulishe na mwenzako.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni