Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumanne, Julai 24, 2012

Habari njema kwa wakazi wa MBEYA, MWANZA, KIGOMA na ARUSHA.



(Labda milima ambayo sijaona ikibuniwa ingawa nayo inatajwa kugunduliwa) 

Unayoyaona leo kesho unaweza usiyaone na kila linapoondoka moja jingine huja.
Hayo ndiyo maisha ya kila siku ya mwanadamu. Sasa ili uishi kwa raha kila ulipatalo sema ahsante kwa Mungu. 

Morning Star Radio imepanua wigo wa huduma ya utangazaji wa kazi za waimbaji wa nyimbo za injili hapa Tanzania, hii ni habari njema  kwa wakazi wa MWANZA sikiliza  matangazo yetu kupitia 102.1 fm, KIGOMA 103.3 fm, MBEYA 106.9 fm. ARUSHA 102.5
Na kwa wakazi walio jirani na hiyo mikoa niliyoitaja endeleeni kubarikiwa na ujio mpya wa kituo cha Radio kinacholeta.

Maisha yana kanuni moja kubwa nayo ni kubuniwa kwa vitu. 

Ukurasa ndani ya facebook BONYEZA HAPA

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni