Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumamosi, Novemba 12, 2011

Tatizo la KUFIKIRIA kabla ya KUFANYA kitu!






Tuanze kwanza kwa kusikiliza na kutazama nyimbo hizi, kikubwa hapa ni kutafakari ujumbe uliomo ndani ya nyimbo hizi maana tukisema tuanze kuzichambua bado tutakuta ndani kuna vionjo vya Rock and Roll.



 ....na kama hakutakuwa na haja zaidi basi hii itasaidia jambo.



 Ndio kweli yenyewe kwamba:







...naam sasa tuendele.

Ukifikiria hata DHAMBI ,...
....halafu  ukafanya DHAMBI,...
.... labda  LADHA ya dhambi  huongezeka CHACHU!:-(

Swali:
  • Huwa unafikiria kabla ya KUFANYA kitu?
  • Na hufikiri  UKIFANYA bila KUFIKIRIA na UKIFIKIRIA na KUFANYA  kitu kilekile UGALI labda   chaweza kuwa na LADHA mbili tofauti?

Jifunze KUFIKIRIA kwanza ,....
..... na UKISHA kuwa MASTA wa KUFIKIRIA  kabla ya KUFANYA,...
...FIKIRIA halafu FANYA sasa ,...
.... kuna wadaio ndio  WAFANYAO kwa BUSARA wafanyavyo.

Swali:
  • Lakini kwa KUFIKIRIA si yasemekana ndio maana mengi  ya busara kama yangefanyika bila KUFIKIRIA ndio maana WENYE BUSARA hawayafanyi  na kusababisha tatizo liko palepale  kwa kuwa hakuna AFANYAYE TATUZI kwa kuwa wenye TATUZI kitakiwacho kufanyika KIKIFIKIRIWA kwanza HAKIFANYIKIKI?

Ndio,...
.... labda moja ya tatizo la KUFIKIRIA kabla ya KUFANYA kitu,...
..... sio tu kuwa MUDA wa KUFANYA   hautatosha  kwa kuwa muda utatumika pia na KUFIKIRIA kabla ya KUFANYA.:-(

Habari hii ila sio nyimbo za pale juu nimeipata ktk link hapo chini.

http://simon-kitururu.blogspot.com/2011/11/tatizo-la-kufikiria-kabla-ya-kufanya.html

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni