Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumamosi, Novemba 26, 2011

MAJIBU YAFANYAYO KAZI

Ukweli ni lengo la akili katika kujua mambo yote kwa dhati iwezekanayo.


Unaweza kujulikana kuanzia hisi kwa kufikiria, lakini pia kwa kushika imani ya dini fulani inayosadikiwa imefunuliwa na Mungu.


Wazo hilo ni la msingi hasa katika Ukristo, na kwa namna ya pekee katika Injili ya Yohane.


Ngoja nikwambie msomaji wangu jambo hili, kwamba:
MAJIBU YAFANYAYO KAZI ni kipengele kinachoongelea masuala ya kiroho zaidi.

Kwa sababu ya upekee na unyeti wa siku, Sio vibaya tukibadilishana mawazo na kuambizana yaliyomuhimu katika maisha hasa ya kiroho.
Na huu utakuwa ni mfululizo kwa kila siku kama hii ya leo...

(Namaanisha JumaMosi)

Pamoja na kwamba weeengi wanaamini hii ni kweli, lakini kweli halisi jionee mwenyewe ambapo tutatizama:

2011 General Conference Spring Council at Oakwood University (Full Sabbath Service)





MAJIBU YAFANYAYO KAZI NI KIPENGELE KINACHOONGELEA MASUALA YA KIROHO.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni