Mtayarishaji

Morning Star Radio

Alhamisi, Aprili 28, 2011

SIKU YA FURAHA AKIWA PEKE YAKE

Asubuhi kila mara alikutwa peke yake akiomba. Kutoka katika eneo hilo alienda kuendelea na kazi zake, nasi tumekuwa mateka wa mateso. Utakuta kwenye account za bank mapesa yamejaa lakini kuna wanao teseka KIHISIA.Na kuna yanayotutesa kisaikolojia.

Tunaishi katika jamii mbovu. Kila mtu anaweza kutenda na kupata matendo mema na hata mabaya pia. Kila mtu anaye mtu ambaye ndie tumaini lake. Tuendeshe mipango yetu ili tusiwe hafifu mbele za watu japo muhimu ni MUNGU. Na ni kweli kuwa tumekutana na hali hizi katika kuishi kwetu tangu tulipoanza na hata tunapoendelea.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni