
Wakawa wanavuka maji ya mto.!
Msomi akamuuliza mvuvi.!
Je? Umewahi kupanda ndege.!
Mvuvi akajibu sijawahi.!
Msomi akasema umepoteza asilimia 30% ya maisha yako.
Msomi akauliza tena.!
Je? Umesoma shule.!
Mvuvi akajibu sijasoma.!
Msomi akasema.!
Umepoteza asilimia 40% ya maisha yako.
Mara mtubwi ukaanza kuzama.!
Mvuvi nae kamuuliza msomi.! Je?
Msomi unajua kuogelea.!
Msomi akajibu Sijui.!
Mvuvi akasema umepoteza asilimia 100% ya maisha yako.
Basi msomi akazama majini na mvuvi akaogelea akatoka nje.
Je? Umejifunza nini hapo?..!
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni