



Vipi kwa mtu alietoka kijijini akaja mjini, kwa sifa anazozifahamu za watu wa mjini akifika asizikute, unadhani atakuwa katika khali gani.

DO NOT GIVE UP. THE BIGINNING IS ALWAYS THE H a r D e s t. "NI HERI KUFA KATIKA FIKRA ZINAZOISHI KULIKO KUISHI KATIKA FIKRA ZILIZOKUFA."
Inasemekana mjini wezi wengi na wote wako mlangoni na labda wote wanaita BWANA BWANA! Na twajua sio kila aitaye BWANA BWANA atauona ufalme.
JibuFutaKwa hiyo labda tatizo ni tutambuaje MGENI aliyepo mlangoni sio kibaka wakati siku hizi hata kwa kucheki wingi wa makanisa na wanaomuhubiri BWANA kwa kupigia watu hodi hata kwa kuonyesha miujiza wengi yasemekana ni FEKI TU?
Falsafa na wazo ndani ya neno...mawazoni.
JibuFutaMmmmh!
JibuFuta