Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumanne, Machi 04, 2008

Jokate Mwegelo


KAMA umfuatiliaji najua hii ushaishtukia; Jokate Mwegelo Balozi wa Redds 2006, aliyekuwa pia balozi wa gazeti bora kabisa la kiingereza nchini linalochapishwa na kampuni ya Mwananchi Communications, The Citizen ambaye pia alitwaa taji la Miss Tanzania namba 2 ni miongoni mwa vijana wa kitanzania wenye vipaji lukuki na mashaallah anavitumia ipasavyo.

Utakumbuka kuwa kabla ya Jokate kutwaa mataji hayo, cheche zake zilianza kuonekana mara tu alipojitosa katika kinyang?anyiro cha kumsaka Miss Kurasini na hatimaye alitwaa taji la Miss Temeke.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni