Uboreshaji wa njia za mawasiliano hususani simu na mtandao ni hatua nzuri katika kujiletea maendeleo hasa kama zitatumiwa vizuri na kwenye mambo yanayohusu maendeleo.
Kiukweli kabisa BINADAMU huwa tunatofautiana sana katika utendaji wetu. Mafanikio yetu katika utendaji hutegemea sana uzoefu katika jambo hilo tunalolitenda.
Napenda kutoa shukrani zangu nyingi kwako, kwa kazi nzuri uliyoifanya.
Siku tutakapokuwa tumezungumzia maana, namna, mahitaji na hatari zinazotusonga katika kudumisha urafiki wa kweli, tutaendelea na hasa katika kuangalia matokeo ya mahusiano ya kirafiki na kwa namna ya pekee mwelekeo rasmi unaowezakujitokeza mara nyingi kama tunda la urafiki na mahusiano.
Mlangoni Pa Moyo Amesimama Mgeni...mfungulie!!!
Ni simulizi ya kweli, iliyotokea halisi. Tangu mwanzo hata sasa tunapoendelea. SIKU YA KWANZA mara baada ya kuanza jambo, hebu kumbuka siku ya kwanza wewe kupanda ndege. Au hivi, ile siku ya kwanza uliyokutana na ambaye kwa sasa!!, sasa hivi namaanisha ndie mama mkwe wako wakati ule ulipoenda kutoa posa.
Mimi siku ya kwanza kula wali hata siikumbuki! Lakini nakumbuka siku ya kwanza kupanda gari!!... ni kisa cha kuchekesha sana kwa namna flani hivi ingawa ndani yake kuna fundisho. Hivyo ndivyo binadamu anavyokabiliana na mazingira.********************************************************
"SINNERS SAVED BY GRACE"...!!!
KUBALI TATIZO LAKO ULITATUE.
