Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumamosi, Septemba 08, 2012

MUNGU MUUMBA WA VYOTE ....MAJIBU YAFANYAYO KAZI.

********************************

Ngoja nikwambie msomaji wangu jambo hili, kwamba:
MAJIBU YAFANYAYO KAZI ni kipengele kinachoongelea masuala ya kiroho zaidi.
Kwa sababu ya upekee na unyeti wa siku, Sio vibaya tukibadilishana mawazo na kuambizana yaliyomuhimu katika maisha hasa ya kiroho.
Na huu utakuwa ni mfululizo kwa kila siku kama hii ya leo...
(Namaanisha JumaMosi)

Pamoja na kwamba weeengi wanaamini hii ni kweli, lakini kweli halisi jionee mwenyewe ambapo itabidi tuombe.

 

********************************

 
 
OMBI
TUNAKUSHUKURU   KWA KUTULINDA   NA TUNAKUSHUKURU KWA KUTUAMSHA  SALAMA ASUBUHI  YA LEO  JINA LAKO LIHIMIDIWE.  WAPO WALIOTAMANI  KUFIKA SIKU YA LEO LAKINI HAWAKUWEZA KUFIKA  WENGINE NI WAGONJWA NA WENGINE WANASHIDA MBALIMBALI  MUNGU WASAIDIE WATU WAKO   ILI WATAMBUE  KUWA WEWE NI MUNGU  USIESHIDWA  NA KITU CHOCHOTE.  BARIKI  RADIO  YA MORNING STAR  ILI ATAKAE SIKILIZA AWEZE KUBARIKIWA,  BARIKI VIONGOZI   PAMOJA  NA  WAFANYAKAZI  WAKE.  KWA JINA  LABABA  NA LAMWANA  NA LA ROHO MTAKATIFU  AMINA.


 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni