Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumamosi, Juni 04, 2011

UFUNUO WA MWISHO

Waebr. 1:1-3.

Azimio: Ufunuo mkamilifu na wa mwisho wa Mungu unapatikana ndani ya Kristo na

katika mafundisho Yake.

Shabaha: Kuonyesha kwamba Yesu Kristo na Agano Jipya ni ufunuo wa mwisho wa

Mungu kwa mwanadamu.

Dibaji: Jifikirie kuwa u Myahudi aliyeishi kama miaka 1880 iliyopita, ikiwa ni mle

Yerusalemu au Palestina, chini ya kongwa 1a ugandamizaji wa Warumi. Tabia ya

kuipenda nchi yao inaanza kuwaka miongoni mwa ndugu wa Kiyahudi wanaofanya

mipango ya kuasi. Kuna lalamiko la utukufu uliopita (historia yao), kuna lalamiko na

kupendeza kwa ibada yao ya kale (sheria ya Musa), wanalo hekalu kubwa, ukuhani wa

ajabu na sadaka za kuongoza mawazo yao na kuwageuza kutoka kwa Kristo. Yote haya



Mataifa hawakuwa katika hatari iliyo tofauti ya kurudia miungu yao; wengine wao bila

shaka walirudia katika tabia na mazoezi yao ya zamani, lakini sio katika miungu ya

washenzi; kwa Wayahudi ilikuwa tofauti, kwani Yehova alikuwa ni Mungu wa wakale na

wapya pia.

Waraka huu kwa Waebrania ulikuwa wa kuonyesha kuwa la zamani limerithiwa na jipya,

utukufu wa jipya ni mkuu kuliko utukufu wa la kale. Kwa hiyo, ombi la kuwa imara

linafanywa katika msingi huu. Neno la ufunguo ni "bora" kusihi katika waraka mzima ni

"kuwa imara."

----------------------------------------------------------

Ndugu msomaji: MAJIBU YAFANYAYO KAZI ni kipengele kinachoongelea masuala ya kiroho zaidi.

Kwa sababu ya upekee na unyeti wa siku, Sio vibaya tukibadilishana mawazo na kuambizana yaliyomuhimu katika maisha hasa ya kiroho.
Na huu utakuwa ni mfululizo kwa kila siku kama hii ya leo...

(Namaanisha JumaMosi)

Pamoja na kwamba weeengi wanaamini hii ni kweli, lakini kweli halisi jionee mwenyewe ambapo

Walter L. Pearson Jr.

Anapotwambia:



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni