Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumamosi, Aprili 30, 2011

Majibu Yafanyayo Kazi....I Need a Break!!!


Bubombi ni kikundi ambacho kilianzishwa mwaka 2010 na watu4. Kikundi hiki kinajihusisha na muziki wa acapella na mpaka sasa wanaimbaji wapo 6. Kikundi hiki kinachangamoto nyingi kweli na ukiangali sisi ni vijana chipukizi kwanza hatuna mwalimu wa uimbaji. Pili ni wanafunzi na mwisho hatuna mfadhili.

Tunahitaji mfadhili ambaye atakuwa mfadhili wetu tunamkaribisha sana na aje kanisani kwetu. Sisi tunapatikana kanisa la "KIJICHI SDA CHURCH". Na kama unahitaji kuimba na sisi we njoo kanisani kwetu. Mwisho tunasema tuna mengi ya kusema ila ukitaka zaidi we njoo kanisani. Jina hili BUBOMBI maana yake ni ISIYOELEWEKA .

Sio kama sisi hatueleweki ila pindi tulipokuwa tunaanza kuimba watu wakaanza kutuita BUBOMBI. Na asili ya upatikanaji wa jina hili ni Arusha mtaa wa Burka. Jina hili tumeamua kulitumia mpaka sasa kwa sababu ya changamoto zetu na siku tukiwa na nafasi kubwa ya kufanya kazi hii tutabadilisha jina kadri tutakavyoendelea. Namba zetu za mawasiliano ni kama ifuatavyo:


+255 657 338 433

+255 718 604 580 au

+255 682 499 603.

MUNGU AWABARIKI.

Bubombi Acappella Sing'ers


Ngoja nikwambie msomaji wangu jambo, kwamba: MAJIBU YAFANYAYO KAZI ni kipengele kinachoongelea masuala ya kiroho zaidi.

Kwa sababu ya upekee na unyeti wa siku, Sio vibaya tukibadilishana mawazo na kuambizana yaliyomuhimu katika maisha hasa ya kiroho.
Na huu utakuwa ni mfululizo kwa kila siku kama hii ya leo...

(Namaanisha JumaMosi)

Pamoja na kwamba weeengi wanaamini hii ni kweli, lakini kweli halisi jionee mwenyewe ambapo

Dr. Carlton P. Byrd

Anapotwambia: “I Need a Break”.






Maoni 2 :