Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumamosi, Machi 19, 2011

MAJIBU YAFANYAYO KAZI

Hii ni Moja ya Kazi ya Mikono yangu, Ona Nilivyoshika Mic.

UKURASA WA SIMULIZI HALISI KILA JUMAMOS

Mwaka mzima nimekaa nahangaika nikitamani wazo langu liwe katika halisia, wakati kila mwanzo unapojitokeza dhamira in­­­­­aanza kuwa na maswali .

Mara njiani katika safari zako unakutana na mpita njia! Baada ya kupishana hatua chache mbele wazo linakuijia kwamba huenda ulishawahi kukutana nae mahali.

…Ingawa tunaweza lakini Wakati flani unajiuliza!!

Ningewaona vijana wenzangu na kusema, “Hawa ni Marafiki wa Kufa na Kuzikana. Ningependa kuwa Mmoja wao.” Lakini…

Haikuwa Vigumu Kupata Marafiki Shuleni. Kwa Hiyo Hata Hivyo Mara kwa Mara Nilijikuta Katika Matatizo. Kuna Ugumu Sana wa Kuwa: Isitoshe tuwe:

Fikiria jambo flani ambalo umekuwa ukiahirisha-ahirisha kulifanya, kwa sababu tu hutaki kukosea. Kisha weka tarehe ya kumaliza kulifanya. Halafu unajikuta umekosea!.

Kufanya yote uwezayo na kufanya mambo kikamilifu ni mambo mawili tofauti; la kwanza linaonesha mlingano na la pili ukosefu wa mlingano.

Kupambana na Kutoridhika!!. Je, umewahi kuwaepuka watu kwa sababu hawafai machoni pako? Au je, watu wazuri wamewahi kukuepuka kwa sababu viwango vyako vya urafiki? Yaani ni vya juu mno visiweze fikiwa?

Kwa kadri unavyoendelea njiani katika safari yako uliyozianza ulipokutana na mpita njia! Baada ya kupishana hatua chache mbele wazo lilipokuijia kwamba huenda ulishawahi kukutana nae mahali, na mara baada ya kusimama na kugeuka ili kuthibisha wazo lako hilo jipya unagundua kwamba...

“Hakuna mtu anayependa kuwa rafiki ya watu wanaomfanya aone hafai.”

Nikianza kujiona kwamba sifai nitaaa…! Nikianza kuwa mwenye kudai mengi mno kutoka kwa wengine nitaa…! Majibu yafanyayo kazi.

Kwa sababu ya upekee na unyeti wa siku, Sio vibaya tukibadilishana mawazo na kuambizana yaliyomuhimu katika maisha hasa ya kiroho. Na huu utakuwa ni mfululizo kwa kila siku kama hii ya leo...(NAMAANISHA JUMAMOSI)

Pamoja na kwamba weeengi wanaamini hii ni kweli, lakini kweli halisi jionee mwenyewe kuhusu

Satanism in Hip Hop and Hollywood

HALAFU UTAFAKARI.


Nakutakia SABATO njema R a F i K i.



Ni katika mambo gani maishani wewe hujiwekea miradi isiyoweza kufikika??

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni