Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumapili, Januari 23, 2011

Muziki wa Jibuti



Bowl Lyre, Xylophone and Ndingidi Players. Dance Drumming Accompanists

Kuhusu Jibuti

Jibuti ni taifa dogo lipatikanalo katika Pembe ya Afrika ambayo imekuwa na mitimdo mingi ya kimuziki humo nchini. Watu wa huko wamejikidhi kwa wengi katika mji wa uvuo ambao pia huitwa Mji wa Jibuti. Nchi hiyo imekuwa ikishirikishwa na mataifa mengi, hivi maajuzi ikiwa Ufaransa. Jibuti ilikuwa nchi ya mwisho kupata uhuru kutoka Ufaransa.


Jibuti ina matabaka mawili:

Kabila na Somali pamoja na wafaransa na waarabu. Muziki wa Afra una fanana na muziki wa Ethiopia ukiwa na vipengele vya muziki wa Kiarabu. Historia ya muziki huu imenakiliwa katika ushairi na nyimbo za watu wake ambao ni wafugaji wa kuhama hama na inaanzia katika maelfu ya miaka iliyopita hadi wakati Jibuti ikifanya biashara ya kubadilishana ngozi kwa manukato na Wamisri, Waindia na Wachina. Ngano za Kisomali hujumuisha Ushairi na Methali, nyingi zao zikiwalenga Mitume wa Sufi na maisha yao. Fasihi ya watu wa Afar imeundwa kimuziki na ni ya aina nyingi, ikijumuisha nyimbo za Ndoa, Vita, Kusifu na Kujigamba.

Wimbo wa Taifa wa Jibuti
Ulioundwa mnamo 1977 huku maneno yake yakitoka kwa

Aden Elmi

Na muziki ulitungwa na Abdi Robleh

Balwa

“Miniature Poetry” au “Ushairi Mdogo” ulivumbuliwa na mwendeshaji wa lori aliyekuwa akiitwa Abdi Deeqs,

unajulikana sana nchini Jibuti. Haya ni mashairi mafupi (bwalo), san asana yanayohusu mapenzi. “Bwalo” pia ni mtindo wa muziki wa Somalia wa aina ya Pop.

Vyombo vya Muziki:
Vyombo vya muziki vya Jibuti vinashirikisha Tanbura, Move your curser over the Tanbura to play it.

Ambayo ni aina ya kisahani

Online Catalog-MR420-Irish Clay Pipe Bowl Lyre-one side star.

Bowl Lyre
The ndongo (eight-string bowl lyre) of the Baganda Ndongo Audio Sample.

Kwa Ufupi:
Kihistoria,
ACAPPELLA ndio asili ya uimbaji kabla hata BINADABU hajastukia kuwa sauti inahitaji kusaidiwa na vyombo kama ngoma , MAGITAA , piano au tu makopo yagongwegonwe ndio kieleweke!

Hivi ndivyo Mwanafalsafa ambaye pia ni Mwanablog na Mdau SIMON KITURURU alivyothibitisha wakati alipochangia nyongeza kuhusu DHAHABU ISIYOOZA.

Maoni 2 :

  1. Kaka Mcharia tuwekee basi tuburudike!
    kazi nzuri Aksante!!!!!!!!je nawewe muimbaji?

    JibuFuta
  2. Ahsante, napenda na nimuimbaji halikadhalika mtayarishaji.

    JibuFuta