Mtayarishaji

Morning Star Radio

Jumamosi, Mei 22, 2010

Fikiria Jambo Hili kwa KINA:

VIPI KAMA HALI HII INGEKUWA HIVYO SIKU ZOTE BILA KUBADILIKA
(No Jioni Wala Mchana na Hata Asubuhi)
**************
SIKU YA KWANZA

Ni simulizi ya kweli, iliyotokea halisi.
Tangu mwanzo hata sasa tunapoendelea.
SIKU YA KWANZA mara baada ya kuanza jambo.
Kumbuka siku ya kwanza wewe kupanda ndege.Au hivi, ile siku ya kwanza uliyokutana na ambaye kwa sasa!!, naamaanisha sasa hivi (kwa aliyeoa) ndie mama mkwe wako wakati ule ulipoenda kutoa posa.

**********

Mimi siku ya kwanza kula wali hata siikumbuki! Lakini nakumbuka siku ya kwanza kupanda gari!!... ni kisa cha kuchekesha sana kwa namna flani hivi ingawa ndani yake kuna fundisho. Hivyo ndivyo binadamu anavyokabiliana na mazingira.

************

Maisha yanaendelea kuwa na maana kutokana na mapitio, changamoto tunazokutana nazo na jinsi tunavyokabiliana nazo. Nitakupatia mfano mmoja, jinsi kipimo cha upendo kilivyo baina ya mwanamke na mwanamme. Angalia mapitio na changamoto walizokutana nazo vijana hawa wawili, kila mmoja kwa muda wake na mazingira aliyokuwemo.

****************

SIKU YA KWANZA NI SIMULIZI INAYOGUSA MAISHA HALISI YA BINADAMU.

Yusuph D. Mcharia.

Radio Presenter,

Story & Song wrighters, Producer and much more...!

Watoto Wanapenda Kucheza Kwenye Maji.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni